.

Picha:Mwonekano Mzima wa Majengo Mapya ya Ubalozi wa Tanzania Paris Ufaransa yaliyozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete


Picha juu ni Mwonekano Mzima wa Majengo (mawili ya katikati) ya Ubalozi wa Tanzania Paris Ufaransa kama yanavyoonekana kwa nje baada ya Kuzinduliwa Rasmi  Rais Jakaya Mrisho Kikwete Nchi ya New Zealand ndiyo iliyoiuzia Tanzania majengo hayo ambayo ya ghorofa tano ya ofisi pamoja na jengo lingine la makazi ya balozi na maafisa wa ubalozi
Previous
Next Post »