Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.
Mohamed Chande Othman na wajumbe wake pamoja na Maofisa wa Bunge
wakiingia bungeni tayari kwa hotuba ya mwisho ya Rais Jakaya Mrisho
Kikwete mjini Dodoma jana.
Marais wastaafu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William
Mkapa, Mawaziri wakuu wastaafu Dkt. Salim Ahmed Salim, Jaji Joseph Sinde
Warioba, Mhe. Frederick Sumaye, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
na Maofisa Waandamizi wa Jeshi na Serikalini wakiwa wamesimama wakati
viongozi wakiingia bungeni.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiingia bungeni.
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali akiingia katika ukumbi wa Bunge.
Spika Anne Makinda akimuongoza Rais Kikwete kuingia bungeni.
Rais Kikwete akiingia bungeni huku akishangiliwa na wabunge.
Rais Kikwete akiingia bungeni.
Rais Kikwete na Spika Makinda wakielekea kuchukua nafasi zao.
Sehemu ya Ukumbi wa Bunge wakati Rais Kikwete akiingia.
Waheshimiwa wabunge.
Maofisa waandamizi wa Bunge.
Rais Kikwete akianza kuhutubia wabunge.
Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge
Rais Kikwete akihutubia
Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake
Waheshimiwa wabunge wakiwa wametulia kumsikiliza Rais Kikwete
Sehemu ya wabunge
Sehemu ya wageni mashuhuri wakifuatilia hotuba
Sehemu ya wabunge
Wake wa viongozi, watoto wa Rais Kikwete na maafisa mbalimbali
Sehemu ya Mabalozi
Wabunge wakifuatilia hotuba
Wabunge wakifuatilia hotuba
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba.
Wabunge wakifuatilia hotuba
Wapiga picha wakirekodi hotuba ya Rais Kikwete.
Jaji Mkuu na wajumbe wake
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.
ConversionConversion EmoticonEmoticon