.

Muigizaji wa Bongo Movie Chopa Mchopanga na ishu ya kutaka kujiua#U Heard

Picha ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha muigizaji wa Bongo Movie Chopa Mchopanga akiwa amevalia jezi ya timu ya Yanga, mkononi akiwa ameshika vidonge vingi na chupa ya bia, huku ikisemekana kuwa alitaka kujiua kutokana na kuwa mshabiki mkubwa wa timu ya Yanga ambayo ilifungwa hivi karibuni pamoja na kuliwa fedha alizokuwa amewekeana dau na star wa Bongo Movie JB.
MCHOPANGA789 
Soudy Brown alimtafuta Mchopanga ambae amesema hiyo picha ilitolewa kwenye movie yake mpya iliyotoka hivi karibuni, inayohusu story za mahaba na haihusiani na mechi ya Yanga iliyochezwa hivi karibuni, ingawa yeye ni mshabiki mkubwa wa Yanga na anaipenda lakini hawezi kujiua kwa sababu ya timu hiyo kufungwa
Previous
Next Post »