- Mara tu baada ya kuwasili kutoka Ethiopia Jumatano hii, Raisi Wa Zimbabwe aliwasili nchini humo na kuhutubia wananchi waliofika kumpokea. Baada ya kuhutubia raisi huyo ambaye anafikisha miaka 91 tar 21 mwezi huu wa pili(Februali) alianguka akishuka katika ngazi kama ambavyo picha zinaonekana. Akiwa Ethiopia, Mugabe amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU)1. Alianza Kushuka Katika Ngazi2. Akakosea Kukanyaga Ngazi na Kuteleza3. Akaanguka
.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ConversionConversion EmoticonEmoticon