.

Happy: Kahaba ‘aliyeua’ baba mwenye nyumba na kuathiri mtoto


  • http://www.googleadservices.com/pagead/aclk?sa=L&ai=C0szaSZTUVOrHHsKluASPyIDYCOf41r0Hh8jrnKkBwI23ARABIO__6yRgwwagAcHhqdMDyAEBqAMByAPDBKoEiwFP0GI2vj5_jvn0_EAS_fgWkSsF76v6GDxkdr9ooHHBcnpQSdlDSgrSswdByUX-X5NIyrZ-TVlLbsjn4W_pNf16UNalUuH_FFwsTUvLzMt_i3GRp_n67xK50dQtLQtG9m-2dXpaeUtM8-7m0TuSKRS-6wq0AENnHhzSv8ZXdaMhpyyHLgGPe6BX9Qd-iAYBgAenntYs&num=1&cid=5Ghjcmqb3FVxRKHDZym0hont&sig=AOD64_02BM3mTGYo2dxqgFQ3fHl-TAUZ8w&client=ca-pub-1830340447953991&adurl=http://www.sbtjapan.com/price-under-1000&nm=13&mb=2&bg=!A0Ts8y9rCkyARQIAAABTUgAAAC4qAQErsJHWezPWAZvDcTUAvy1bSl8hoDW1rfofsWxq0RIDrEZOpTbAnycc8e3OMw8khL8126pvIzCv5ckSk4gvTWS_f7S6KH6RW_C2Lto_QsmS4O6EHsb4-_sEp5UyB1UGAXywXJVWBtSa9yDlsck-8KuPgSO3dWmkw_RyuBj196fkuP2cn9VfwMfcceH0cxCHWIz_Rj9lduG7TmeQQSWoQItJVBnRlghOnSo-6WfOhyNDXJYYBw_2az7RRVHlUf06ZDbkBYX9upvRMVLCkagG7BOZnX3KU9XCWA1zbjzpZ0bTe3BxeVgBGol8WHdF25YyKeio8hoNcmZYlW1vSNXtFMHULA
    Bofya Hapa Kusoma Zaidi Habari Yote(Mwananchi) 
    “Hakuna mtu anayependa kuwa kahaba (kujiuza) ila inatokana na sababu maalumu zinazomkabili mhusika,” anasema Happy katika mahojiano na gazeti hili jijini Dar es Salaam.
    Happy (siyo jina lake halisi), msichana mweusi, mrefu wa wastani, mwenyeji wa Mkoa wa Arusha aliye na diploma ya uhazili anasema kwamba alizaliwa miaka 22 iliyopita katika familia yenye watoto watatu, yeye pekee akiwa wa kike, huku akiwa pia wa kwanza kwenye familia yao. Anataja kabila lake kuwa ni Mmasai na kwamba anaishi jijini Dar es Salaam, maeneo ya Sinza Kumekucha.
    Anabainisha kuwa hana mtoto na wala hana sababu ya kuwa na mtoto kutokana na matatizo yanayomkabili.
    Happy ambaye shughuli zake za kujipatia kipato ni ukahaba katika eneo la Buguruni, anaanza kusimulia historia yake ya kusisimua  akisema:
    “Nilikuwa mwajiriwa katika benki  moja jijini Dar es Salaam. Katika kuajiriwa kwangu nikawa msaidizi maalumu wa bosi (sekretari) wa benki hiyo, lakini siku nyingine ilitokea mimi na bosi wangu tukaamua kujirusha kama mtu wangu wa karibu.”
    “Kaka, unajua kwanza sijawahi kuwa na mume wala mchumba na kwa kweli huyo bosi ndiye alikuwa mtu wa kwanza kufanya naye mapenzi, hivyo nilifurahia penzi lake na alitokea kunipenda kwa dhati na kunijali. Kila kitu nilipata kutoka kwake.”
    Anabainisha kuwa aliampenda  bosi wake kwa sababu hakumficha kitu kuhusu maisha yake, kwani alimwambia wazi kuwa pamoja na kumpenda, ana mke na watoto, hivyo jambo lolote linaweza kutokea ikiwa mke wake atajua kinachoendelea.
    “Kijana huyo hakukata tamaa,   alihangaika kwa mwezi mzima akinifuatilia, mpaka siku nikamkubalia, ndipo akawa mpenzi wangu halali. Nilimwamini sana na mwezi mmoja tu tangu tulipojuana, kijana aliniambia tufanye naye mapenzi.”
    Happy anasimulia: “Nilifikiria sana suala hilo na wakati mwingine nilitaka kulia jinsi alivyokuwa ananishika na kuniomba tufanye mapenzi akiwa chumbani kwangu wakati mimi sikuwa radhi. Alijaribu kunishawishi lakini nilimkatalia.”
    Anasema kuwa siku moja alimwomba kijana huyo wakapime  afya ili kujua kama wana maambukizi ya magonjwa ya zinaa  au sivyo kabla ya ya kuanza kufanya ngono.
    Bofya Hapa Kusoma Zaidi Hapa(Mwananchi)

Previous
Next Post »