.

WASTARA AMPIGA MSASA BONDI

  • BAADA ya tetesi kuzagaa mitaani kwamba wasanii wa filamu Bongo, Wastara Juma na Bondi Bin Salim wanatoka kimapenzi, bidada huyo ameibuka na kufunguka kuwa bado hajamkubalia jumla Bondi kwani bado anamchunguza.
    Wasanii wa filamu Bongo, Wastara Juma na Bondi Bin Salim.
    Akipiga stori na paparazi wetu, Wastara alisema anamrekebisha baadhi ya vitu ili aweze kuwa wake na kama hatabadilika, atampiga chini.
    “Bondi ninamchunguza kwanza na kumpiga msasa awe wa tofauti na alivyokuwa zamani sijamtangaza rasmi kwa sababu kuna vitu bado sijajiridhisha kwake na naendelea kuvifanyia kazi nikijiridhisha basi ndani ya mwaka huu nitamtangaza rasmi,” alisema Wastara.

Previous
Next Post »