-
Leo ni leo. Jumamosi, Januari 24; saa 5 ofisini kwake. Mada kuu ni Escrow. Amewaita waandishi wa habari ili kutoa ya mayoni , haijulikani anataka kusema nini na kuchukua hatua gani , inasemekana kuna viongozi viti havikaliki kwa vile kuna wasiwasi akalipua bomu ambalo halijulikani .
Bunge linatarajia kuanza week ijayo na kuna wabunge wameapa kuwa Muhongo na Chenge wakiingia bungeni siku hiyo hapata kalika.
Nini Maoni yako ya hii habari?
.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ConversionConversion EmoticonEmoticon